sw_tn/pro/22/22.md

639 B

Maelezo ya Jumla

mistari hii inaanza kueleza juu ya "misemo themathini " 22:20

usimwibie ...kumponda

nyanganya ...dhulumu

maskini

"mtu yeyote ambaye ni maskini" au "watu maskini"

kumponda

saga kuwa unga, maana yake kufanyia dhuluma

mhitaji

'mtu ambaye hana mahitaji kwa ajili ya kuishi"

kwenye lango

sehemu ambapo watu walileta vitu na kuuza na kuamuliwa mambo mbalimbali.

Yahwe atatetea shitaka lao

"Yahwe atawatetea wahitaji kutoka kwa wale wanaowaonea" au ""Yahwea atahakikisha kuwa wahitaji wanapokea haki"

atapokonya uhai wao wale ambao waliwaibia

"atawaangamiza wale ambao wakandamiza watu maskini"