forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
639 B
Markdown
32 lines
639 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
mistari hii inaanza kueleza juu ya "misemo themathini " 22:20
|
||
|
|
||
|
# usimwibie ...kumponda
|
||
|
|
||
|
nyanganya ...dhulumu
|
||
|
|
||
|
# maskini
|
||
|
|
||
|
"mtu yeyote ambaye ni maskini" au "watu maskini"
|
||
|
|
||
|
# kumponda
|
||
|
|
||
|
saga kuwa unga, maana yake kufanyia dhuluma
|
||
|
|
||
|
# mhitaji
|
||
|
|
||
|
'mtu ambaye hana mahitaji kwa ajili ya kuishi"
|
||
|
|
||
|
# kwenye lango
|
||
|
|
||
|
sehemu ambapo watu walileta vitu na kuuza na kuamuliwa mambo mbalimbali.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atatetea shitaka lao
|
||
|
|
||
|
"Yahwe atawatetea wahitaji kutoka kwa wale wanaowaonea" au ""Yahwea atahakikisha kuwa wahitaji wanapokea haki"
|
||
|
|
||
|
# atapokonya uhai wao wale ambao waliwaibia
|
||
|
|
||
|
"atawaangamiza wale ambao wakandamiza watu maskini"
|