sw_tn/pro/22/09.md

407 B

mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa

"Mungu atambariki mwenye jicho la ukarimu"

mwenye jicho la ukarimu

"mtu mkarimu" au "mtu ambaye yupo tayari kutoa vitu kwa ajili ya watu wengine"

mkate

Mkate ulikuwa chakula kikuu kwa watu wengi nyakati za Biblia, mara nyingi ulitumika kuwakilisha chakila kwa ujumla.

mabishano na matukano vitaondoka

"watu hawatabishana tena au kusema vitu vya kuumizana"