forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
407 B
Markdown
16 lines
407 B
Markdown
|
# mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atambariki mwenye jicho la ukarimu"
|
||
|
|
||
|
# mwenye jicho la ukarimu
|
||
|
|
||
|
"mtu mkarimu" au "mtu ambaye yupo tayari kutoa vitu kwa ajili ya watu wengine"
|
||
|
|
||
|
# mkate
|
||
|
|
||
|
Mkate ulikuwa chakula kikuu kwa watu wengi nyakati za Biblia, mara nyingi ulitumika kuwakilisha chakila kwa ujumla.
|
||
|
|
||
|
# mabishano na matukano vitaondoka
|
||
|
|
||
|
"watu hawatabishana tena au kusema vitu vya kuumizana"
|