sw_tn/pro/20/27.md

577 B

roho ya mtu ni taa ya Yahwe, ikichunguza sehemu zake zote za ndani

"Yahwe anetupatia roho ya kujitambua kwa undani, kama taa inavyokufanya uone katika giza"

agano la uaminifu na dhamana humlinda mfalme

"mfalme hujilinda yeye mwenyewe kwa agano lake la uaminifu na mdhamana"

humlinda mfalme

humweka salama mfalme kutoka katika madhara

kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo

kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo wake

kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo

"mfalme huhakikisha kuwa atatawala kwa muda mrefu kwa kuonyesha upendo kwa wengine"