forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
577 B
Markdown
20 lines
577 B
Markdown
|
# roho ya mtu ni taa ya Yahwe, ikichunguza sehemu zake zote za ndani
|
||
|
|
||
|
"Yahwe anetupatia roho ya kujitambua kwa undani, kama taa inavyokufanya uone katika giza"
|
||
|
|
||
|
# agano la uaminifu na dhamana humlinda mfalme
|
||
|
|
||
|
"mfalme hujilinda yeye mwenyewe kwa agano lake la uaminifu na mdhamana"
|
||
|
|
||
|
# humlinda mfalme
|
||
|
|
||
|
humweka salama mfalme kutoka katika madhara
|
||
|
|
||
|
# kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo
|
||
|
|
||
|
kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo wake
|
||
|
|
||
|
# kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo
|
||
|
|
||
|
"mfalme huhakikisha kuwa atatawala kwa muda mrefu kwa kuonyesha upendo kwa wengine"
|