sw_tn/pro/20/19.md

456 B

mbeya

maana yake mtu ambaye husengenya sana.

usishirikiane pamoja na

" hupaswi kuwa na urafiki na"

kama mtu atamlaani

"Maana yake kama mtu ataonyesha shaukua ya mambo mabaya yatokee kwa mtu mwingine"

taa yake itazimwa katikati ya giza

"maisha yake tatakoma ghafla kama mwanga ambao umepulizwa katika giza" au "atakufa ghafla"

taa yake itazimwa

"taa yake itazimika"

taa yake

" mwanga wa taa yake"

zimwa

kusababisha mwanga uondoke