forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
456 B
Markdown
28 lines
456 B
Markdown
|
# mbeya
|
||
|
|
||
|
maana yake mtu ambaye husengenya sana.
|
||
|
|
||
|
# usishirikiane pamoja na
|
||
|
|
||
|
" hupaswi kuwa na urafiki na"
|
||
|
|
||
|
# kama mtu atamlaani
|
||
|
|
||
|
"Maana yake kama mtu ataonyesha shaukua ya mambo mabaya yatokee kwa mtu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# taa yake itazimwa katikati ya giza
|
||
|
|
||
|
"maisha yake tatakoma ghafla kama mwanga ambao umepulizwa katika giza" au "atakufa ghafla"
|
||
|
|
||
|
# taa yake itazimwa
|
||
|
|
||
|
"taa yake itazimika"
|
||
|
|
||
|
# taa yake
|
||
|
|
||
|
" mwanga wa taa yake"
|
||
|
|
||
|
# zimwa
|
||
|
|
||
|
kusababisha mwanga uondoke
|