sw_tn/pro/20/09.md

341 B

nani anaweza kusema, " moyo wangu nimeuweka safi; nipo huru kutokana na dhambi zangu"?

"hakuna mtu anaweza kusema kwamba moyo wake ni safi na yupo huru kutoka dhambini"

moyo wangu

"mimi mwenyewe"

safi

mtu ambaye Mungu humtafakari kuwa anakubalika kiroho.

nipo huru kutokana na dhambi zangu

"sina dhambi" au "sijatenda dhambi"