forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
341 B
Markdown
16 lines
341 B
Markdown
|
# nani anaweza kusema, " moyo wangu nimeuweka safi; nipo huru kutokana na dhambi zangu"?
|
||
|
|
||
|
"hakuna mtu anaweza kusema kwamba moyo wake ni safi na yupo huru kutoka dhambini"
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu
|
||
|
|
||
|
"mimi mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# safi
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye Mungu humtafakari kuwa anakubalika kiroho.
|
||
|
|
||
|
# nipo huru kutokana na dhambi zangu
|
||
|
|
||
|
"sina dhambi" au "sijatenda dhambi"
|