forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
422 B
Markdown
24 lines
422 B
Markdown
# kwenye moyo wake mtu hupanga njia yake
|
|
|
|
"mtu hupanga katika akili jambo atakalofanya"
|
|
|
|
# Yahwe huziongoza hatua zake
|
|
|
|
Yahwe huamua matokeo ya mipango ya mtu
|
|
|
|
# ushauri upo kwenye midomo ya mfalme
|
|
|
|
"kila anachosema mfalme ni ushauri"
|
|
|
|
# ushauri
|
|
|
|
uamuzi kutoka kwa Mungu, hukumu takatifu
|
|
|
|
# katika hukumu kinywa chake hakisemi uongo
|
|
|
|
"anapotamka hukumu, huwa hasemi uongo"
|
|
|
|
# kinywa chake hakisemi uongo
|
|
|
|
"husema kweli"
|