sw_tn/pro/16/09.md

422 B

kwenye moyo wake mtu hupanga njia yake

"mtu hupanga katika akili jambo atakalofanya"

Yahwe huziongoza hatua zake

Yahwe huamua matokeo ya mipango ya mtu

ushauri upo kwenye midomo ya mfalme

"kila anachosema mfalme ni ushauri"

ushauri

uamuzi kutoka kwa Mungu, hukumu takatifu

katika hukumu kinywa chake hakisemi uongo

"anapotamka hukumu, huwa hasemi uongo"

kinywa chake hakisemi uongo

"husema kweli"