forked from WA-Catalog/sw_tn
422 B
422 B
kwenye moyo wake mtu hupanga njia yake
"mtu hupanga katika akili jambo atakalofanya"
Yahwe huziongoza hatua zake
Yahwe huamua matokeo ya mipango ya mtu
ushauri upo kwenye midomo ya mfalme
"kila anachosema mfalme ni ushauri"
ushauri
uamuzi kutoka kwa Mungu, hukumu takatifu
katika hukumu kinywa chake hakisemi uongo
"anapotamka hukumu, huwa hasemi uongo"
kinywa chake hakisemi uongo
"husema kweli"