sw_tn/pro/14/03.md

556 B

kinywa cha ... midomo ya

Kinywa na midomo vyote vinahusiana na kile ambacho mtu hunena

kipukizi la kiburi chake

chipukizi ni kitu amabacho huota kutoka kwenye kitu kingine. " ambacho huzalishwa na kiburi chake"

busara

"watu wenye busara"

ataihifadhi

"atawalinda kutoka ktatika madhara" au " atawatunza salama"

hori la kulia

hori ni kontana ambapo huwekwa chakula kwa ajili ya wanyama

mazao mengi

"mavuno mazuri"

kwa nguvu ya maksai

"nguvu" inawakilisha kazi imara anayoweza kufanya maksai "kwa sababu ya kazi anayofanya maksai"