forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
556 B
Markdown
28 lines
556 B
Markdown
|
# kinywa cha ... midomo ya
|
||
|
|
||
|
Kinywa na midomo vyote vinahusiana na kile ambacho mtu hunena
|
||
|
|
||
|
# kipukizi la kiburi chake
|
||
|
|
||
|
chipukizi ni kitu amabacho huota kutoka kwenye kitu kingine. " ambacho huzalishwa na kiburi chake"
|
||
|
|
||
|
# busara
|
||
|
|
||
|
"watu wenye busara"
|
||
|
|
||
|
# ataihifadhi
|
||
|
|
||
|
"atawalinda kutoka ktatika madhara" au " atawatunza salama"
|
||
|
|
||
|
# hori la kulia
|
||
|
|
||
|
hori ni kontana ambapo huwekwa chakula kwa ajili ya wanyama
|
||
|
|
||
|
# mazao mengi
|
||
|
|
||
|
"mavuno mazuri"
|
||
|
|
||
|
# kwa nguvu ya maksai
|
||
|
|
||
|
"nguvu" inawakilisha kazi imara anayoweza kufanya maksai "kwa sababu ya kazi anayofanya maksai"
|