forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
430 B
Markdown
16 lines
430 B
Markdown
# watu waovu wametupwa
|
|
|
|
"Watu watawatupa watu waovu" au "watu watawaondoa watu wabaya kutoka kwenye mamlaka"
|
|
|
|
# nyumba
|
|
|
|
"familia" au "uzao"
|
|
|
|
# mtu husifiwa kwa namna ya wingi wa hekima yake
|
|
|
|
"watu watawasifu ambao wanahekima"
|
|
|
|
# yule anayefanya uchaguzi wa udanganyifu huchukiwa
|
|
|
|
"watu watamchukia yule ambaye kila wakati huwaza mambo mabaya" au " watu watamchukia yule ambaye huchukua mambo mazuri na kuyabadilisha kuwa mabaya"
|