sw_tn/pro/12/07.md

430 B

watu waovu wametupwa

"Watu watawatupa watu waovu" au "watu watawaondoa watu wabaya kutoka kwenye mamlaka"

nyumba

"familia" au "uzao"

mtu husifiwa kwa namna ya wingi wa hekima yake

"watu watawasifu ambao wanahekima"

yule anayefanya uchaguzi wa udanganyifu huchukiwa

"watu watamchukia yule ambaye kila wakati huwaza mambo mabaya" au " watu watamchukia yule ambaye huchukua mambo mazuri na kuyabadilisha kuwa mabaya"