sw_tn/pro/08/19.md

339 B

Matunda yangu

ambacho hekima huzalisha au husababisha

faida yangu

manufaa au faida ambayo hekima husababisha

Natembea katika njia ya haki

"Ninaishi kwa haki" au " Ninatenda ambacho ni haki"

katikati ya njia za uadilifu

"Ninafanya mambo makalifu" au "Ninatenda ambacho ni haki"

hazina

ghala kwa ajili ya vitu vya thamani