forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
339 B
Markdown
20 lines
339 B
Markdown
|
# Matunda yangu
|
||
|
|
||
|
ambacho hekima huzalisha au husababisha
|
||
|
|
||
|
# faida yangu
|
||
|
|
||
|
manufaa au faida ambayo hekima husababisha
|
||
|
|
||
|
# Natembea katika njia ya haki
|
||
|
|
||
|
"Ninaishi kwa haki" au " Ninatenda ambacho ni haki"
|
||
|
|
||
|
# katikati ya njia za uadilifu
|
||
|
|
||
|
"Ninafanya mambo makalifu" au "Ninatenda ambacho ni haki"
|
||
|
|
||
|
# hazina
|
||
|
|
||
|
ghala kwa ajili ya vitu vya thamani
|