sw_tn/pro/06/20.md

394 B

tii amri ya baba yako... usiyaache mafundisho ya mama yako

Maana yake baba na mama wote wanahusika katika kufundiha na mchakato wa kufunza

usiayache mafundisho ya mama yako

"tii mafundisho ya mama yako"

yafunge katika moyo wako; yakaze kwenye shingo yako

Hizi ni amri na maelekezo kama zimeandikwa unaweza kuziweka katika mwili wako au kuvaa mwilini mwako ili kujikumbusha mwenyewe.