forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
394 B
Markdown
12 lines
394 B
Markdown
|
# tii amri ya baba yako... usiyaache mafundisho ya mama yako
|
||
|
|
||
|
Maana yake baba na mama wote wanahusika katika kufundiha na mchakato wa kufunza
|
||
|
|
||
|
# usiayache mafundisho ya mama yako
|
||
|
|
||
|
"tii mafundisho ya mama yako"
|
||
|
|
||
|
# yafunge katika moyo wako; yakaze kwenye shingo yako
|
||
|
|
||
|
Hizi ni amri na maelekezo kama zimeandikwa unaweza kuziweka katika mwili wako au kuvaa mwilini mwako ili kujikumbusha mwenyewe.
|