forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
342 B
Markdown
16 lines
342 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Baba anaendelea kumfundisha mtoto wake jinsi ambavyo hekima itamlinda.
|
|
|
|
# Hekima na busara vitakuokoa
|
|
|
|
"kama utakuwa na hekima na busara, utajiokoa wewe mwenyewe"
|
|
|
|
# mwenza wa ujana wake
|
|
|
|
mume wake, ambaye aliyemwoa tangu ujanani
|
|
|
|
# agano la Mungu wake
|
|
|
|
agano la ndoa ambalo amelifanya na mume wake katika uwepo wa Mungu.
|