sw_tn/pro/02/16.md

342 B

Maelezo ya Jumla

Baba anaendelea kumfundisha mtoto wake jinsi ambavyo hekima itamlinda.

Hekima na busara vitakuokoa

"kama utakuwa na hekima na busara, utajiokoa wewe mwenyewe"

mwenza wa ujana wake

mume wake, ambaye aliyemwoa tangu ujanani

agano la Mungu wake

agano la ndoa ambalo amelifanya na mume wake katika uwepo wa Mungu.