forked from WA-Catalog/sw_tn
342 B
342 B
Maelezo ya Jumla
Baba anaendelea kumfundisha mtoto wake jinsi ambavyo hekima itamlinda.
Hekima na busara vitakuokoa
"kama utakuwa na hekima na busara, utajiokoa wewe mwenyewe"
mwenza wa ujana wake
mume wake, ambaye aliyemwoa tangu ujanani
agano la Mungu wake
agano la ndoa ambalo amelifanya na mume wake katika uwepo wa Mungu.