sw_tn/pro/02/01.md

765 B

Maelezo ya Jumla

Baba anamfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi.

kama utapokea maneno yangu

Hapa "maneno" yanawakilisha mafundisho " kama utasikiliza ambacho ninakufundisha"

kama utapokea

Huu ni mfululizo wa kauli zenye mashariti zinazofika tamati katika 2:5

zihifadhi amri zangu ndani yako

" zihesabu amri zangu kuwa za thamani kama hazina"

masikio yako yawe na usikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moyo wako kwenye ufahamu

"kama masikio yako yatakuwa masikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moy wako kwenye ufahamu"

masikio yako yawe na usikivu

"Jilazimishe kusikiliza kwa umakini wewe mwenyewe"

Hekima

"sikiliza mabo ya busara ambayo ninakufundisha"

elekeza moyo wako kwenye ufahamu

"jitahidi sana kufahamu maana ya busara"