forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
765 B
Markdown
32 lines
765 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Baba anamfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi.
|
||
|
|
||
|
# kama utapokea maneno yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "maneno" yanawakilisha mafundisho " kama utasikiliza ambacho ninakufundisha"
|
||
|
|
||
|
# kama utapokea
|
||
|
|
||
|
Huu ni mfululizo wa kauli zenye mashariti zinazofika tamati katika 2:5
|
||
|
|
||
|
# zihifadhi amri zangu ndani yako
|
||
|
|
||
|
" zihesabu amri zangu kuwa za thamani kama hazina"
|
||
|
|
||
|
# masikio yako yawe na usikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moyo wako kwenye ufahamu
|
||
|
|
||
|
"kama masikio yako yatakuwa masikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moy wako kwenye ufahamu"
|
||
|
|
||
|
# masikio yako yawe na usikivu
|
||
|
|
||
|
"Jilazimishe kusikiliza kwa umakini wewe mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# Hekima
|
||
|
|
||
|
"sikiliza mabo ya busara ambayo ninakufundisha"
|
||
|
|
||
|
# elekeza moyo wako kwenye ufahamu
|
||
|
|
||
|
"jitahidi sana kufahamu maana ya busara"
|