forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
517 B
Markdown
28 lines
517 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
mstari wa 33 unahitimisha kauli ya hekima ambayo ilianzia katika 1:20.
|
|
|
|
# watakila matunda ya njia zao
|
|
|
|
"watapata madhara yanayotokana na matendo yao"
|
|
|
|
# kwa matunda ya njama zao watashibishwa
|
|
|
|
"watateseka kwa mipango yao miovu"
|
|
|
|
# wajinga
|
|
|
|
"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga"
|
|
|
|
# hufa wakati wanaporudi nyuma
|
|
|
|
"hufa kwa kuwa wanakataa kujifunza"
|
|
|
|
# kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza
|
|
|
|
" wapumavu watakufa kwa sababu hawajali wanachopaswa kufanya"
|
|
|
|
# kutojali
|
|
|
|
kukosa hamu juu ya jambo fulani
|