sw_tn/pro/01/31.md

517 B

Maelezo ya Jumla

mstari wa 33 unahitimisha kauli ya hekima ambayo ilianzia katika 1:20.

watakila matunda ya njia zao

"watapata madhara yanayotokana na matendo yao"

kwa matunda ya njama zao watashibishwa

"watateseka kwa mipango yao miovu"

wajinga

"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga"

hufa wakati wanaporudi nyuma

"hufa kwa kuwa wanakataa kujifunza"

kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza

" wapumavu watakufa kwa sababu hawajali wanachopaswa kufanya"

kutojali

kukosa hamu juu ya jambo fulani