sw_tn/php/02/28.md

493 B

nitaondolewa wasi wasi

"sintoogopa kama nilivyokuwa"

Mkaribisheni Epafradito

"mpokeeni Epafradito kwa furaha"

katika Bwana kwa furaha

"kama muumini mpendwa katika Bwana pamoja na furaha yote"

alikaribia kufa

hapa Paulo anzungumzia kifo kana kwamba kilikuwa ni sehemu ambayo angeweza kwenda.

kufanya kile ambacho hamkuweza kufanya katika kunihudumia

Paulo anzungumzia mahitaji yake kana walikuwa chombo cha kubebea kwamba Epafradito alijazwa vitu vizuri kwa ajili ya Paulo.