forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
493 B
Markdown
20 lines
493 B
Markdown
|
# nitaondolewa wasi wasi
|
||
|
|
||
|
"sintoogopa kama nilivyokuwa"
|
||
|
|
||
|
# Mkaribisheni Epafradito
|
||
|
|
||
|
"mpokeeni Epafradito kwa furaha"
|
||
|
|
||
|
# katika Bwana kwa furaha
|
||
|
|
||
|
"kama muumini mpendwa katika Bwana pamoja na furaha yote"
|
||
|
|
||
|
# alikaribia kufa
|
||
|
|
||
|
hapa Paulo anzungumzia kifo kana kwamba kilikuwa ni sehemu ambayo angeweza kwenda.
|
||
|
|
||
|
# kufanya kile ambacho hamkuweza kufanya katika kunihudumia
|
||
|
|
||
|
Paulo anzungumzia mahitaji yake kana walikuwa chombo cha kubebea kwamba Epafradito alijazwa vitu vizuri kwa ajili ya Paulo.
|