forked from WA-Catalog/sw_tn
493 B
493 B
nitaondolewa wasi wasi
"sintoogopa kama nilivyokuwa"
Mkaribisheni Epafradito
"mpokeeni Epafradito kwa furaha"
katika Bwana kwa furaha
"kama muumini mpendwa katika Bwana pamoja na furaha yote"
alikaribia kufa
hapa Paulo anzungumzia kifo kana kwamba kilikuwa ni sehemu ambayo angeweza kwenda.
kufanya kile ambacho hamkuweza kufanya katika kunihudumia
Paulo anzungumzia mahitaji yake kana walikuwa chombo cha kubebea kwamba Epafradito alijazwa vitu vizuri kwa ajili ya Paulo.