forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
423 B
Markdown
24 lines
423 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Eliezeri anawafundisha maaskari taratibu za kujitakasa mbele ya BWANA baada ya kwenda vitani
|
|
|
|
# Dhahabu, fedha, shaba,vyuma, bati, risasi
|
|
|
|
Hivi ni vyuma ambavyo vilikuwa vinatumika wakati ule
|
|
|
|
# haviwezi kupita kwenye moto
|
|
|
|
"ambavyo haviwezi kuungua"
|
|
|
|
# mtakiweka katika moto
|
|
|
|
"viwekeni motoni"
|
|
|
|
# maji ya takaso
|
|
|
|
Tazama 19:17
|
|
|
|
# ndipo mtakapokuwa safi
|
|
|
|
Huu ndio utaraibu wa kuwa safi mbele ya BWANA
|