forked from WA-Catalog/sw_tn
491 B
491 B
Kisha Israeli
"Israeli" inamaanisha watu wa Israeli, hasa viongozi wao. "kisha Waisraeli"
Hatutapita kwenye shamba lolote au shamba la mizabibu
"Hatutaingia kwenye shamba lenu lolote au shamba la mizabibu"
njia kuu ya mfalme
Tazama 20:17
kupita kwenye mpaka wao
"kuvuka mpaka wao." Neno "wao" linamaanisha Waamori
Jahazi
Hili ni jina la mahali
alipigana dhidi ya Israeli
kiwakilishi "a" kina mwakilisha jeshi la Mfalme Sihoni, "jeshi lake lilipigana dhidi ya Israeli"