forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
491 B
Markdown
24 lines
491 B
Markdown
|
# Kisha Israeli
|
||
|
|
||
|
"Israeli" inamaanisha watu wa Israeli, hasa viongozi wao. "kisha Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# Hatutapita kwenye shamba lolote au shamba la mizabibu
|
||
|
|
||
|
"Hatutaingia kwenye shamba lenu lolote au shamba la mizabibu"
|
||
|
|
||
|
# njia kuu ya mfalme
|
||
|
|
||
|
Tazama 20:17
|
||
|
|
||
|
# kupita kwenye mpaka wao
|
||
|
|
||
|
"kuvuka mpaka wao." Neno "wao" linamaanisha Waamori
|
||
|
|
||
|
# Jahazi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali
|
||
|
|
||
|
# alipigana dhidi ya Israeli
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "a" kina mwakilisha jeshi la Mfalme Sihoni, "jeshi lake lilipigana dhidi ya Israeli"
|