forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
508 B
Markdown
20 lines
508 B
Markdown
# Kila hilo sanduku liliposafiri
|
|
|
|
"Kila wakati wale watu waliokuwa wamebeba sanduku walipoondoka"
|
|
|
|
# Inuka BWANA
|
|
|
|
Kirai cha "inuka" ni ombi la BWANA kumtaka atende. Kwa hiyo Musa anamwomba BWANA awasambaze maadui wake.
|
|
|
|
# Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia
|
|
|
|
"uwafanye wale wanokuchukia kukimbia mbele ya sanduku lako na mbele ya watu wako"
|
|
|
|
# na kila lile sanduku liliposimama
|
|
|
|
"kila watu wanobeba lile sanduku waliposimama"
|
|
|
|
# hawa Waisraeli makumi elfu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu." hawa walio makumi elfu"
|