forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
703 B
Markdown
32 lines
703 B
Markdown
# muda wa kujidhiri kwake
|
|
|
|
"kujidhiri" kunamaanisha "kuwa wakfu". "kuwekwa kwake wakfu"
|
|
|
|
# Ataletwa
|
|
|
|
"ataletwa na mtu"
|
|
|
|
# Ataleta sadaka yake kwa BWANA
|
|
|
|
"ataleta sadaka yake kwa BWANA kupitia kwa kuhani ambaye ndiye ataitoa hiyo sadaka"
|
|
|
|
# mikate iliyotengenezwa bila amira
|
|
|
|
"mikate iliyotengenezwa bila chachu"
|
|
|
|
# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
|
|
|
|
"unga mwembamba aliouchanganya na mafuta"
|
|
|
|
# mikate ya kaki isiyo na amira iliyopakwa mafuta,
|
|
|
|
mikate ya kaki isiyo na chachu ambayo aliipaka mafuta
|
|
|
|
# mikate ya kai isiyo na amira
|
|
|
|
"vipande vidogovidogo vya mikate"
|
|
|
|
# pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji
|
|
|
|
"pamoja na na sadaka za unga ambazo BWANA alitaka ziambatane na sadaka zingine.
|