forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
368 B
Markdown
16 lines
368 B
Markdown
# sehemu ya kumi
|
|
|
|
hii ni sehemu moja kati ya kumi
|
|
|
|
# sehemu ya kumi ya efa
|
|
|
|
sehemu ya kumi ya efa ni karibu sawa na lita 2.
|
|
|
|
# ni sadaka ya unga ya wivu
|
|
|
|
"ni sadaka ya unga inayotolewa kwa ajili ya wivu"
|
|
|
|
# dalili ya dhambi
|
|
|
|
"Dalili" ni kitu kinachoonyesha uhakika wa jambo fulani. kwa ahali hiyo alitoa sadaka inayoonyesha kama mke wake kweli alifanya uzinzi au la.
|