forked from WA-Catalog/sw_tn
554 B
554 B
wenye magonjwa ya ngozi
Hii inamaanisha ukoma, huu ni ugonjwa unaoathiri ngozi na unasambaa kwa wengine kwa urahisi.
vidonda vinavyotoa harufu
Hii inamaanisha vidonda vya wazi vinavyotoa usaha.
ambaye amenajisika kwa kugusa maiti
Mtu alipogusa maiti alionekana kuwa najisi. Mtu ambaye alikuwa hakubariki kwa matumizi ya kazi ya Mungu alionekana ki mwili kuwa najisi.
umtoe kambini
kiwakilishi cha "u" ni cha wingi na kinamanisha watu wa Israeli.
Watu wa Israeli walifanya hivyo
Watu wa Israeli waliwatoa kambini watu waliokuwa najisi.