forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
554 B
Markdown
20 lines
554 B
Markdown
|
# wenye magonjwa ya ngozi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha ukoma, huu ni ugonjwa unaoathiri ngozi na unasambaa kwa wengine kwa urahisi.
|
||
|
|
||
|
# vidonda vinavyotoa harufu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha vidonda vya wazi vinavyotoa usaha.
|
||
|
|
||
|
# ambaye amenajisika kwa kugusa maiti
|
||
|
|
||
|
Mtu alipogusa maiti alionekana kuwa najisi. Mtu ambaye alikuwa hakubariki kwa matumizi ya kazi ya Mungu alionekana ki mwili kuwa najisi.
|
||
|
|
||
|
# umtoe kambini
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi cha "u" ni cha wingi na kinamanisha watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Watu wa Israeli walifanya hivyo
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli waliwatoa kambini watu waliokuwa najisi.
|