forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
731 B
Markdown
20 lines
731 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Walitupa sheria yako nyuma ya migongo yao
|
|
|
|
Sheria inasemekana kama ni kitu ambacho hakina maana ambacho mtu anaweza kutupa. AT "Walichukulia sheria yako haikuwa na maana na hawakujali"
|
|
|
|
# Walitupa sheria yako
|
|
|
|
Waisraeli walitupa sheria ya Bwana.
|
|
|
|
# hiyo ukawatia mikononi mwa adui zao
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria uwezo wa "maadui" (kama watu wote) kufanya madhara. AT "umeruhusu maadui wa watu wako kuwadhuru watu wako"
|
|
|
|
# uliwatuma waokoaji waliowaokoa katika mikono ya adui zao
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria uwezo wa "maadui" (kama watu wote) kufanya madhara. AT "uliwatuma watu kuacha adui zao kuwadhuru"
|