forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
491 B
Markdown
16 lines
491 B
Markdown
# Ezra akamshukuru Bwana
|
|
|
|
Jina hili "shukran" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT "Ezra alishukuru Bwana"
|
|
|
|
# Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabidi, Hanania, Pelaya nao ni Walawi, waliwasaidia watu kuelewa sheria,
|
|
|
|
Haya yote ni majina ya wanaume
|
|
|
|
# wakaeleza wazi kwa tafsiri na kutoa maana
|
|
|
|
Ufafanuzi wa maneno "tafsiri" na "maana" yanaweza kutafsiriwa kama vitenzi. AT "akifafanua wazi na kuelezea"
|
|
|
|
# yaliyosomwa
|
|
|
|
"nini kilichosomwa"
|