forked from WA-Catalog/sw_tn
491 B
491 B
Ezra akamshukuru Bwana
Jina hili "shukran" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT "Ezra alishukuru Bwana"
Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabidi, Hanania, Pelaya nao ni Walawi, waliwasaidia watu kuelewa sheria,
Haya yote ni majina ya wanaume
wakaeleza wazi kwa tafsiri na kutoa maana
Ufafanuzi wa maneno "tafsiri" na "maana" yanaweza kutafsiriwa kama vitenzi. AT "akifafanua wazi na kuelezea"
yaliyosomwa
"nini kilichosomwa"