forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
665 B
Markdown
24 lines
665 B
Markdown
# Munaona shida
|
|
|
|
Hapa "ni" wingi, akimaanisha watu wote waliotajwa katika 2: 15.
|
|
|
|
# milango yake imeharibiwa kwa moto
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "jinsi adui zetu walivyoharibu milango yake kwa moto"
|
|
|
|
# hivyo hatuwezi tena kuwa na aibu
|
|
|
|
"hivyo hatuwezi tena kuona aibu"
|
|
|
|
# mkono mzuri wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu
|
|
|
|
'Mkono mzuri" wa Mungu unawakilisha "neema yake." AT "neema yangu Mungu ilikuwa juu yangu"
|
|
|
|
# kuinuka na kujenga
|
|
|
|
Huu ndio idiami. AT "kuanza kujenga'"
|
|
|
|
# Kwa hiyo wakaimarisha mikono yao kwa ajili ya kazi nzuri.
|
|
|
|
Maneno ya "kuimarisha mikono yao" inamaanisha kujiandaa kufanya kitu. AT "Hivyo wameandaa kufanya kazi hii nzuri"
|