sw_tn/mat/27/09.md

530 B

Maelezo kwa ujumla

Mwandishi ananukuu toka maandiko ya Agano Jipya kuonesha kuwa kujinyonga kwa Yuda kulikuwa kutimiza unabii

Kisha lile neno lililokuwa limenwa na nabii Yeremia litimie

"Hili liltimiza unabii ambao nabii Yeremia alisema"

gharama iliyopngwa na watu wa Israel

"Gharama ambayo watu wa Isrel walimpngia"

watu wa Israel

Hii inamaanisha baadhi ya watu wa Isrel waliolipa ili Yesu auawe. "baadhi ya watu wa Israel" au "viongozi wa Israel"

alivyokuwa amenielekeza

kiwakilishi "ni" kinamaanisha Yeremia