forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
530 B
Markdown
20 lines
530 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi ananukuu toka maandiko ya Agano Jipya kuonesha kuwa kujinyonga kwa Yuda kulikuwa kutimiza unabii
|
||
|
|
||
|
# Kisha lile neno lililokuwa limenwa na nabii Yeremia litimie
|
||
|
|
||
|
"Hili liltimiza unabii ambao nabii Yeremia alisema"
|
||
|
|
||
|
# gharama iliyopngwa na watu wa Israel
|
||
|
|
||
|
"Gharama ambayo watu wa Isrel walimpngia"
|
||
|
|
||
|
# watu wa Israel
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha baadhi ya watu wa Isrel waliolipa ili Yesu auawe. "baadhi ya watu wa Israel" au "viongozi wa Israel"
|
||
|
|
||
|
# alivyokuwa amenielekeza
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "ni" kinamaanisha Yeremia
|