sw_tn/mat/26/69.md

16 lines
465 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Hii ni habri ya Petro akimkana mara tatu kuwa anamjua Yesu, kama vile Yesu alivypkuwa amaesema kuwa atafanya.
# Maelezo kwa ujumla
Matukio haya yanatokea sambamba na majaribu ya Yesu kwa viongozi wa dini
# Wakati huo
Hili neno linaonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kuwaambia sehemu ya habari.
# Sijui kile unachosema.
Petro aliweza kufahamu alichosema mjakazi. Alitumia maneno haya kukana kwamba alikuwa pamoja na Yesu.