forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
465 B
Markdown
16 lines
465 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii ni habri ya Petro akimkana mara tatu kuwa anamjua Yesu, kama vile Yesu alivypkuwa amaesema kuwa atafanya.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Matukio haya yanatokea sambamba na majaribu ya Yesu kwa viongozi wa dini
|
||
|
|
||
|
# Wakati huo
|
||
|
|
||
|
Hili neno linaonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kuwaambia sehemu ya habari.
|
||
|
|
||
|
# Sijui kile unachosema.
|
||
|
|
||
|
Petro aliweza kufahamu alichosema mjakazi. Alitumia maneno haya kukana kwamba alikuwa pamoja na Yesu.
|