sw_tn/mat/26/69.md

465 B

Sentensi unganishi

Hii ni habri ya Petro akimkana mara tatu kuwa anamjua Yesu, kama vile Yesu alivypkuwa amaesema kuwa atafanya.

Maelezo kwa ujumla

Matukio haya yanatokea sambamba na majaribu ya Yesu kwa viongozi wa dini

Wakati huo

Hili neno linaonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kuwaambia sehemu ya habari.

Sijui kile unachosema.

Petro aliweza kufahamu alichosema mjakazi. Alitumia maneno haya kukana kwamba alikuwa pamoja na Yesu.