sw_tn/mat/26/47.md

650 B

Sentensi unganishi

Hii inaazisha habari ya Yuda wakati alipomsaliti Yesu na viongozi wa dini wakamkamata

Wakati alipokuwa bado akiongea.

"Wakati Yesu alipokuwa bado akiongea."

marungu

vipande vikubwa vya miti vya kupigia watu

Sasa ... mkamateni

Neno "sasa" linaonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaeleza jinsi Yuda atakavyotoa ishara atakayotoa kwa nia ya kumsaliti.

Akisema, "Yule nitakaye mbusu, ndiye yeye. Mkamateni."

"Akasema kwamba yule aliye mbusu ndiye waliyepaswa kumkamata."

Huyo nitakaye mbusu.

"Yule nitakaye mbusu" au "Mtu ambaye nita mbusu."

Busu.

Namna ya heshima ya kumsalimia mwalimu wa mtu mwingine.