forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
650 B
Markdown
28 lines
650 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaazisha habari ya Yuda wakati alipomsaliti Yesu na viongozi wa dini wakamkamata
|
||
|
|
||
|
# Wakati alipokuwa bado akiongea.
|
||
|
|
||
|
"Wakati Yesu alipokuwa bado akiongea."
|
||
|
|
||
|
# marungu
|
||
|
|
||
|
vipande vikubwa vya miti vya kupigia watu
|
||
|
|
||
|
# Sasa ... mkamateni
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linaonesha kuanza kwa habari mpya. Mathayo anaeleza jinsi Yuda atakavyotoa ishara atakayotoa kwa nia ya kumsaliti.
|
||
|
|
||
|
# Akisema, "Yule nitakaye mbusu, ndiye yeye. Mkamateni."
|
||
|
|
||
|
"Akasema kwamba yule aliye mbusu ndiye waliyepaswa kumkamata."
|
||
|
|
||
|
# Huyo nitakaye mbusu.
|
||
|
|
||
|
"Yule nitakaye mbusu" au "Mtu ambaye nita mbusu."
|
||
|
|
||
|
# Busu.
|
||
|
|
||
|
Namna ya heshima ya kumsalimia mwalimu wa mtu mwingine.
|