sw_tn/mat/26/27.md

744 B

kutwaa au chukua.

Tazama14:19

kikombe

Kikombe kinamaanisha kikombe kikiwa na divai ndani yake

kunyweni

"kunywa divai kutoka kikombe hiki"

kwa kuwa hii ni damu yangu

"kwa kuwa hii divai ni damu yangu"

Damu ya agano.

"Damu ambayo huonesha kwamba agano linafanya kazi" au "damu ambayo hufanya agano liwezekane.

Inamwagwa.

"Inamwagwa kwa ajili ya kifo" au "hivi punde itachuruzika kutoka mwilini mwangu." au "itachuruzika kutoka katika majeraha yangu nitakapo kufa."

matunda ya mzabibu.

"mvinyo"

Lakini nawaambia

Hii inaongeza msisitzo

katika Ufalme wa Baba yangu.

Baba atakapoanzisha ufalme wake duniani "hapa"

wa baba yangu

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano muhimu kati ya Mungu na Yesu.