forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
744 B
Markdown
40 lines
744 B
Markdown
|
# kutwaa au chukua.
|
||
|
|
||
|
Tazama14:19
|
||
|
|
||
|
# kikombe
|
||
|
|
||
|
Kikombe kinamaanisha kikombe kikiwa na divai ndani yake
|
||
|
|
||
|
# kunyweni
|
||
|
|
||
|
"kunywa divai kutoka kikombe hiki"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa hii ni damu yangu
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa hii divai ni damu yangu"
|
||
|
|
||
|
# Damu ya agano.
|
||
|
|
||
|
"Damu ambayo huonesha kwamba agano linafanya kazi" au "damu ambayo hufanya agano liwezekane.
|
||
|
|
||
|
# Inamwagwa.
|
||
|
|
||
|
"Inamwagwa kwa ajili ya kifo" au "hivi punde itachuruzika kutoka mwilini mwangu." au "itachuruzika kutoka katika majeraha yangu nitakapo kufa."
|
||
|
|
||
|
# matunda ya mzabibu.
|
||
|
|
||
|
"mvinyo"
|
||
|
|
||
|
# Lakini nawaambia
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza msisitzo
|
||
|
|
||
|
# katika Ufalme wa Baba yangu.
|
||
|
|
||
|
Baba atakapoanzisha ufalme wake duniani "hapa"
|
||
|
|
||
|
# wa baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano muhimu kati ya Mungu na Yesu.
|